kileunachopenda

NHIF YAFANYA MABORESHO, VIFURUSHI SASA NI SERENGETI NA NGORONGORO

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Mwanza Jarlath Mushashu amewataka wananchi kukata bima mapema kwani ni muhimu kuwa na Bima ya afya. Akielezea maboresho ya mifumo mipya katika bima hiyo Mushashu amesema kwa sasa vifurushi ni Viwili tofauti na hapo awali. Kwa upande wake Afisa udhibiti Ubora NHIF Mkoa

NHIF YAFANYA MABORESHO, VIFURUSHI SASA NI SERENGETI NA NGORONGORO Read More »