News

ULAJI USIOULAJI USIO FAA CHANZO CHAMAGONJWA YASIYO AMBUKIZA.

Jamii imesisitizwa kufuata kanuni bora za ulaji ili kujiepusha na magonjwa yasiyo ambukiza ikiwemo Figo. Daktari Bingwa wa Magonjwa yasiyo ambukiza Doktari Samson Mongomongo ameitaka jamii kupunguza matumizi ya mafuta, ulaji wa protini, na badala yake kula vyakula vya nyuzinyuzi na kufanya mazoezi ilikupunguza uwezekano wa kupata magonjwa hayo. Amesema ugonjwa wa Figo mara nyigi …

ULAJI USIOULAJI USIO FAA CHANZO CHAMAGONJWA YASIYO AMBUKIZA. Read More »

PENGO LA JINSIA KIDIJITALI HUATHIRI UWEZO WA WANAWAKE KITEKOLOJIA.

Pengo la jinsia kidijitali huathiri ufikiaji na uwezo wa wanawake kutumia teknolojia za kidijitali, zikiwemo simu, mitandao ya kijamii na intaneti. Tatizo hili pia linaongeza ukosefu wa usawa uliopo, ikiwa ni pamoja na umaskini, elimu, na upatikanaji wa kijiografia. Kwa vizazi, kanuni za kijamii zimewateua wanaume kuwajibika kwa nyanja za kiteknolojia za maisha ya kila …

PENGO LA JINSIA KIDIJITALI HUATHIRI UWEZO WA WANAWAKE KITEKOLOJIA. Read More »

NISHATI CHAFU SI RAFIKI KWA AFYA-KITOGO

Inaelezwa kuwa nishati chafu si Rafiki kwa afya ya binadamu na mazingira kwa ujumla. Hayo yamesemwa na Afisa mazingira katika shirika la EMEDO lililopo jijini Mwanza, Kitogo Laurence akizungumza na Afya Redio kuhusiana na Athari za matumizi ya nishati chafu ikizingatiwa wanawake ndio wanaotumia kwa wingi kwenye shughuli mbali mbali. Nao baadhi ya wananchi wamesema …

NISHATI CHAFU SI RAFIKI KWA AFYA-KITOGO Read More »

WANAWAKE WANAATHIRIKA ZAIDI MATUMIZI NISHATI SAFI.

Mkurugenzi wa mamlaka ya kudhibiti wa huduma za nishati kanda ya ziwa EWURA George Mhina amesema watanzania wanaoishi maeneo ya vijijini wanamatumizi makubwa ya nishati chafu ikiwemo kuni na mkaa na huwaathiri zaidi wanawake Amesema hayo wakati akizungumza na afyaradio kuhusu athari za matumizi ya nishati chafu nakwamba matumizi ya nishati chafu pia huchangia vifo …

WANAWAKE WANAATHIRIKA ZAIDI MATUMIZI NISHATI SAFI. Read More »

MTOTO WAKIKE KUWA HAKIMU INAWEZEKANA-NDOSI

Wazazi wametakiwa kuwashika mkono Watoto wa kike katika safari ya masomo ili kutimiza malengo yao. Wito huo umetolewa na Hakimu Witness Ndoss wakati akizungumza na afya radio juu ya changamoto zinazo wakabili Watoto wakiki pindi wanapochagua kusomea masomo yanayo yafanya kufikia kuwa hakimu. Amesema vijana wakike wanashindwa kufikia ndoto zao kutokana na kukosa kuungwa mkono …

MTOTO WAKIKE KUWA HAKIMU INAWEZEKANA-NDOSI Read More »

ZINGATIENI USAWA -NURU

Waandishi wa Habari wa Afya Radio wametakiwa kuzingatia usawa wa kijinsia katika kuandaa maudhui yao. Mkufunzi wa chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino Mwanza (SAUT) Nuru Chuo amesema hayo wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi hao kuhusiana na maswala ya kijinsia katika uandaaji wa maudhui. Kwa upande wake Mhariri Mkuu wa Afya Radio Feliciana Manyanda …

ZINGATIENI USAWA -NURU Read More »

UBAGUZI KWENYE FAMILIA CHANZO CHA UKIMWI

Katibu wa Baraza la Watu wanaoishi na virusi vya ukimwi (VVU) NAKOPHA Konga Wilaya ya Nyamagana Jijini Mwanza Joseph Kiharata ameitaka jamii kuweka usawa katika familia ili kuwaepusha wanawake na maambukizi ya Virusi vya ukimwi. Kiharata amesema ubaguzi katika familia hasa wa kiuchumi unaweza kusababisha wanawake kupata maambukizi ya VVU. ”Moja ya sababu ambayo inaweza …

UBAGUZI KWENYE FAMILIA CHANZO CHA UKIMWI Read More »