
Rushwa ni ukosefu wa uaminifu ambao hufanywa na mtu,Watu au shirika lililopewa Dhamana ya kuongoza watu, kutumia njia hiyo ili kujipatia faida isiyo halali.
Katika miaka hivi karibuni imekuwa si kitu cha ajabu kwa baadhi ya watu kuomba au kutoa ngono ili aweze kutimiza au kutimiziwa jambo Fulani.
Kitendo hiki kwa mujibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa na.11/2007 kinatamkwa kuwa ni rushwa ya ngono.
Esther Baraka amezungumza na mwanasheria kutoka jiji la Mwanza, Norbet John kufahamu Sheria inasemaje kuhusu Rushwa ya Ngono makazini.
Thanks a lot for sharing this with all folks you
really understand what you are speaking approximately!
Bookmarked. Please additionally seek advice from my site =).
We can have a link trade contract among us